Jumanne, 14 Februari 2017

JAJI FATUMA MASENGI ASTAAFU


Mheshimiwa Jaji Fatuma Masengi aliyestaafu rasmi jana. Mhe. Masengi alikuwa ni Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Arusha.

Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mhe. Ferdinand Wambali (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha Mhe. Fatuma Masengi (wa nne kushoto) na Mawakili wa Serikali na Mawakili wa Kujitegemea pamoja na Watumishi wengine wa Mahakama Kanda ya Arusha na Moshi mara baada ya Sherehe ya Kumuaga iliyofanyika jana Mahakama Kuu kanda ya Arusha. 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni