TANZIA
Mahakama ya Tanzania inasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wa Mahakama
ya Wilaya ya Ilemela Bw. Severine Presha, aliyekuwa Dereva kilichotokea jana Februari 16, 2021 mjini Mwanza.
Mahakama ya Tanzania inatoa pole kwa
familia ya marehemu, ndugu, jamaa na marafiki kufuatia msiba huu.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni