Afisa Kumbukumbu wa Mahakama ya Tanzania, Bi. Mariam Jacob (aliyesimama) akitoa maelezo ya jinsi kujaza fomu ya orodha ya mali za marehermu kwa Bi. Mwajabu Difika(aliyevaa ushungi wa maruni) na Bi. Mwasha Rashid ndani ya Mahakama Inayotembea iliyopo banda la Mahakama ya Tanzania kwenye Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa (SabaSaba) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius K. Nyerere, Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
Hakimu Mkazi wa Mahakama Inayotembea,Mhe. Simon Laizer akisaini fomu hiyo.
Hakimu Mkazi Mwandamizi kutoka Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki (IJC) , Temeke cha Masuala ya Familia akitoa elimu kuhusu masuala ya mirathi kwa wananchi waliofika kwenye Kituo hicho kilichopo katika banda la Mahakama ya Tanzania.
(Picha na Magreth Kinabo- Mahakama)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni