Alhamisi, 19 Julai 2018

JAJI MKUU WA TANZANIA ATEMBELEWA NA KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Profesa Ibrahim  Hamis Juma akizungumza na Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike .

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Profesa Ibrahim  Hamis Juma akimkabidhi  jarida la Mahakama  na kitabu  cha Mpango Mkakati  wa  Miaka Mitano , Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike .

Mtendaji  Mkuu wa Mahakama ya Tanzania,Bw. Hussein Kattanga akizungumza na Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike .
 

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Profesa Ibrahim  Hamis Juma akiwa katika picha  ya pamoja na Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike .



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni