Ijumaa, 20 Oktoba 2017

KITUO CHA MAFUNZO CHA MAHAKAMA MBIONI KUANZA KUTUMIKA

  Jengo la Kituo cha Mafunzo cha Mahakama ya Tanzania kama linavyoonekana likiwa kwenye hatua za Mwisho za kukamilika. Jengo hili limejengwa kwa muda wa kipindi cha wiki 8 tu kwa ushirikiano kati ya Mahakama ya Tanzania na Benki ya Dunia. Lipo katika eneo la Mahakama ya Kisutu jijini 
Dar es salaam.

 

  Mafundi wakiendelea na kazi ya kukamilisha jengo kama linavyoonekana Sehemu ya ndani ya jengo hilo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni