Jumatatu, 16 Oktoba 2017

MAHAKAMA KUU KANDA YA MOSHI YASHIRIKI MAONESHO YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA

  Naibu Msajili wa Mahakama Kuu kanda ya Moshi Mhe. Bernard Mpepo (kulia)  akizungumza jambo na Mtendaji wa Mahakama wa kanda hiyo, Bw. Donald Makawia wakati wa ufunguzi wa wiki ya Nenda kwa Usalama barabarani  uliofanyika katika uwanja vya Mashujaa Mjini Moshi

  Watumishi wa Mahakama Kuu kanda ya Moshi wakiwa katika maonesho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani iliyoanza katika mkoa wa Kilimanjaro.
 Wananchi wakiwa kwenye Banda la Mahakama ili kupatiwa huduma mbalimbali za Kimahakama wakati wa Maonesho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani iliyoanza katika mkoani Kilimanjaro.
 Askari wa Usalama Barabarani wakiwa kwenye banda la Mahakama ya Tanzania ili kupatiwa huduma mbalimbali za Kimahakama wakati wa Maonesho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani iliyoanza katika mkoani Kilimanjaro.


Wananchi wakiwa kwenye banda la Mahakama ya Tanzania ili kupatiwa huduma mbalimbali za Kimahakama. 



(Picha na Angel Meela- Mahakama, Moshi)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni