Alhamisi, 30 Januari 2025

UKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA MAHAKAMA WILAYA CHAMWINO.

HABARI PICHA 

JAJI MFAWIDHI DODOMA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA MAHAKAMA YA WILAYA CHAMWINO IKULU.

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Dodoma Mhe.Dkt Juliana Masabo (wa kwanza kushoto alievaa miwani) akiendelea na ukaguzi katika ujenzi wa Mahakama ya Wilaya Chamwino Ikulu leo tarehe 29 Januari, 2025.

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Dodoma Mhe.Dkt Juliana Masabo (wa pili kutoka kulia alievaa miwani) akipata maendeleo ya ujenzi wa Mahakama ya Wilaya Chamwino Ikulu leo tarehe 29 Januari, 2025 kutoka kwa Mwandisi Emmanuel Basalege

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Dodoma Mhe.Dkt Juliana Masabo (wa kwanza kulia alievaa miwani) akipata maendeleo ya ujenzi wa Mahakama ya Wilaya Chamwino Ikulu leo tarehe 29 Januari, 2025 kutoka kwa Mwandisi Emmanuel Basalege.

Hali ya Ujenzi wa Mahakama ya Wilaya Chamwino Ikulu iliyopo ulivyofikia hadi sasa.

Hali ya Ujenzi wa Mahakama ya Wilaya Chamwino Ikulu iliyopo ulivyofikia hadi sasa.

(Picha na Arapha Rusheke - Mahakama, Dodoma)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni