Alhamisi, 13 Machi 2025

MJUMBE WA KAMATI YA MAADILI YA MAAFISA WA MAHAKAMA GEITA AAPISHWA

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Geita, Mhe. Jaji Kevin David Mhina( katikati) akimuapisha kiapo cha uadilifu  Mjumbe wa Kamati ya Maadili ya Maafisa wa Mahakama wa Wilaya ya Chato, Dkt. Emmanuel Samwel Katani katika hafla iliyofanyika tarehe 11 Machi, 2025. Wengine waliohudhuria  hafla hiyo ni Naibu Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Geita, Mhe Fredrick Rutashobya Lukuna( wa pili kushoto), akiwemo Mtendaji wa Mahakama wa Mahakama Kuu  ya Tanzania Kanda ya Geita,.Bi. Masalu Cosmas Kisasila( wa kwanza kushoto) .


(Picha na Na DOTTO NKAJA, Mahakama - Geita.)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni