Picha ya juu na chini ni Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Dkt. Mustapher Mohamed Siyani akizungumza leo tarehe 30 Aprili, 2025 na Majaji Wastaafu wa Mahakama hiyo, wakati walipotembelea maeneo mbalimbali ya Jengo la Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania, lililopo eneo la Tambuka Reli Barabara ya Tisa jijini Dodoma mahali yalipo Makao Makuu ya Nchi lililozinduliwa tarehe 5 Aprili, 2025.
Picha mbalimbali za waliowahi kuwa Majaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, akiwemo Jaji Kiongozi wa sasa Mhe. Dkt. Mustapher Mohamed Siyani.
Majaji hao wakiangalia picha hizo.
Baadhi ya Majaji hao wakimsikiliza Jaji Kiongozi wa Mahakama hiyo wa sasa.
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Dkt. Mustapher Mohamed Siyani(kulia) akizungumza jambo na Rais wa Chama cha Majaji Wastaafu Tanzania, Mhe. Jaji Thomas Mihayo, leo tarehe 30 Aprili, 2025 wakiwemo Majaji Wastaafu wengine wa Mahakama hiyo.
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Dkt. Mustapher Mohamed Siyani(kulia) akifafanua jambo na Rais wa Chama cha Majaji Wastaafu Tanzania, Mhe. Jaji Thomas Mihayo, leo tarehe 30 Aprili, 2025 na Majaji Wastaafu wa Mahakama hiyo.
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mstaafu,Mhe. Amir Msumi (aliyevaa shati la mistari) akiwa na Rais wa Chama cha Majaji Wastaafu Tanzania, Mhe. Jaji Thomas Mihayo, leo tarehe 30 Aprili, 2025.
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Dkt. Mustapher Mohamed Siyani, akiendelea kuzungumza jambo.
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mstaafu,Mhe. Amir Msumi (aliyevaa shati la mistari) akiwa katika ofisi Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania iliyopo kwenye jengo hilo.
Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mstaafu,Mhe.Joseph Masanche (aliyevaa kanzu) akiangalia picha hizo.
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel (wa tatu kushoto) akiwa na Majaji hao wakati wakitembelea maeneo mbalimbali ya Jengo la Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania, wakiwemo Viongozi Waandamizi wa Mahakama.
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel (kushoto) akiwa na baadhi ya Majaji hao wakati wakitembelea Chumba Maalum cha Kutolea Taarifa za Mahakama nchi nzima (Judicial Situation Room)kilichopo kwenye Jengo la Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania.
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel(kushoto) akiwa na Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe.Joseph Masanche.
Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Eva Kiyaki Nkya (kulia ) akiwaeleza jambo na Majaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania.
Mtendaji wa Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel(kushoto) akiwa na Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe.Joseph Masanche wakifuraia jambo.
Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Eva Kiyaki Nkya (kulia ) akiwaeleza jambo na Majaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania.
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel(kushoto) akifafanua jambo kwa Majaji hao, katika picha ya juu na chini kwenye chumba hicho.
Picha ya pamoja ya juu na chini ni Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel(wanne kulia) akiwa na Majaji hao, walioongozwa na Rais wa Chama cha Majaji Wastaafu Tanzania, Mhe. Jaji Thomas Mihayo(wa kwanza (kulia) leo tarehe 30 Aprili, 2025.
ENEDELEA KUFUATILIA MATUKIO MENGINE YA ZIARA HIYO KWENYE OFISI YA JAJI MKUU WA TANZANIA NA TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni