Jumatano, 30 Aprili 2025

STORI PICHA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI - DODOMA

 

Mtendaji Mkuu wa Mahakama na Katibu wa Tume ya Utumishi wa Mahakama Prof. Elisante Ole Gabriel akitambulishwa Bungeni wakati hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria ikisomwa leo jijini Dodoma.

Mtendaji Mkuu wa Mahakama na Katibu wa Tume ya Utumishi wa Mahakama Prof. Elisante Ole Gabriel akisikiliza hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria. 

Jaji wa Mahakama ya Rufani ya Tanzania Mhe. Dkt. Mary Levira akitambulishwa Bungeni wakati wa hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Katiba na sheria ikisomwa Bungeni.

Mtendaji Mkuu wa Mahakama na Katibu wa Tume ya Utumishi wa Mahakama Prof. Elisante Ole Gabriel akitambulishwa Bungeni wakati hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria ikisomwa leo jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Eliakimu Maswi (kushoto) akiwa na Vongozi mbalimbali wa Taasisi zilizo chini ya Wizara hiyo leo Bungeni jijini Dodoma




Majaji wa Mahakama ya Rufani wakisikiliza hotuba ya Bajeti ikisomwa, katikati ni Jaji Mhe. Dkt. Mary Levira na kushoto ni Jaji Mhe. Winfrida Korosso. Kulia ni Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Mhe. Eva Kiaki Nkya

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Eliakimu Maswi (kushoto) akifuatilia hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo.


Sehemu ya Viongozi mbalimbali wakifuatilia hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo.

Wakili Mkuu wa Serilkali Dkt. Ally Possi (katikati) akifuatilia hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo.

Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi akitambulishwa Bungeni wakati wa kusoma Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria 


Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. Johari Hamza akitambulishwa Bungeni wakati wa kusoma Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni