Jumamosi, 5 Julai 2025

MAONESHO YA 49 YA BIASHARA YA KIMATAIFA MAHAKAMA IPO KIKAZI ZAIDI


Wananchi wazidi kujitokeza kupata elimu kwenye Mabanda ya Mahakama Sabasaba 2025 katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea kufanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa Temeke Dar es Salaam.






















 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni