Alhamisi, 27 Novemba 2025

TANZIA: MTUMISHI WA MAHAKAMA YA WILAYA BUNDA AFARIKI DUNIA

Uongozi wa Mahakama Kuu Kanda ya Musoma  unasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wake Bw. Abriel Ezekiel Lazaro mwenye check no. 112982216 aliyekua Dereva II  wa Mahakama ya Wilaya Bunda.  Marehemu amefikwa na umauti  tarehe 25 Novemba, 2025 katika Hospitali ya rufaa Bugando alipokuwa akipatiwa matibabu

Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa Jina lake lihimidiwe

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni