Alhamisi, 1 Machi 2018

MENEJIMENTI YA MAHAKAMA YA TANZANIA YAFANYA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MPANGO MKAKATI WAKE NA MAENDELEO YA MRADI WA MABORESHO WA HUDUMA ZA MAHAKAMA


Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Hussein Kattanga (ambaye  ni Mwenyekiti)  mkutano kuhusu  taarifa ya robo ya mwaka kujadili Mpango  Mkakati  wa mitano na utekelezaji wa mradi wa Maboresho  wa Mahakama katika kipindi cha mwaka 2015/2016 hadi 2019/ 2020 akizungumza jambo wakati wa ufunguzi  wa mkutano huo.

Mkuu wa kitengo cha  Usimamzi wa Mradi wa Maboresho  ya Mahakama, Mhe. Zahra Maruma   akichangia hoja  kwenye mkutano huo kuhusu  Mpango  Mkakati  wa Miaka Mitano. 2015/2016 hadi  2019/ 2020).
Msajili  wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Ilvin Mugeta akichangia jambo kwenye mkutano huo. 
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu , Edward  Nkembo akielezea ripoti hiyo ya robo mwaka ya Mpango Mkakati wa Miaka Mitano katika idara yake.
Msajili wa Makahama ya Rufani  Tanzania, Mhe John  Kahyoza  akielezea jambo kuhusu Mpango Mkakati wa Miaka  Mitano( 2015/2016 hadi 2019/ 2020).
  Msajili Mkuu  wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Katarina  Revokati akichangia jambo kwenye mkutano huo.

Wajumbe wakiwa katika Mkutano huo.

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Mashauri-Mahakama ya Tanzania, Mhe. Eva Nkya akitoa taarifa ya Utekelezaji wa majukumu ya Idara yake katika Mkutano huo.
Mkurugenzi wa Mipango na Usimamizi, Mathias Mwang’u akitoa taarifa ya Idara hiyo katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Majukumu ya idara hiyo.



Mkuu wa Kitengo cha Habari, Elimu kwa Umma na Mawasiliano  wa Mahakama , Nurdin  Ndimbe  a akitoa taarifa ya Idara hiyo katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Majukumu.
Mkurugenzi Msaidizi wa Ukaguzi na Maadili-Mahakama ya Tanzania, Mhe. Warsha Ngh'umbu akitoa taarifa ya Idara hiyo katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Majukumu.

  



.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni