Jumanne, 6 Machi 2018

MKUTANO WA TAHMINI NA UTEKELEZAJI WA MPANGO MKAKATI WA MAHAKAMA YA TANZANIA WAENDELEA ARUSHA

  Mkuu wa Kitengo cha  Usimamizi na Maboresho ya Mahakama ya Tanzania, Mhe Zahra Maruma akifafanua  jana  katika mkutano wa tathmini na utekelezaji  wa Mpango Mkakati wa Miaka Mitano(2015/2016 hadi 2019/2020 ulianza leo kwenye ukumbi wa mikutano ya kimataifa, Arusha(AICC)



Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania,Katarina Revokati  akitoa neno la kuanza kwa mkutano katika mkutano wa tathmini na utekelezaji  wa Mpango Mkakati wa Miaka Mitano(2015/2016 hadi 2019/2020 ulianza leo Machi  5,2018 kwenye ukumbi wa mikutano ya kimataifa(AICC)ambapo amesistiza umuhimu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA),

 
Baadhi ya wajumbe wa  wakiwa  katika mkutano huo


                 Baadhi ya wajumbe wa  wakiwa  katika mkutano huo.

 Baadhi ya wajumbe wa mkutano huo wakijadiliana kuhusu utekelezaji  wa majukumu yao kulingana na mpango mkakati huo.


Baadhi ya wajumbe wa mkutano huo wakijadiliana kuhusu utekelezaji  wa majukumu yao kulingana na mpango mkakati huo.



Baadhi ya wajumbe wa mkutano huo wakifuatilia kuhusu utekelezaji  wa majukumu yao kazi kulingana na mpango mkakati huo.
Baadhi ya wajumbe wa  wakiwa  katika mkutano huo. 

Baadhi ya wajumbe wa  wakiwa  katika mkutano huo.
( Picha na  Magreth Kinabo)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni