Jumanne, 20 Machi 2018

WAGENI KUTOKA BENKI YA DUNIA WATEMBELEA MAHAKAMA



  Meneja Mradi wa Mageuzi  wa Kanda ya Afrika Mashariki, Nikola  Smithers     (kulia) kutoka  Benki ya Dunia akizungumza jambo  wakati alipotembelea leo  Kitengo cha Mradi wa  Usimamizi  wa Maboresho cha Mahakama ya Tanzania kilicho jijini kilichopo jijjini Dar es Salaam .Kushoto ni Afisa Mwandamizi  wa Mageuzi, Denis Biseko kutoka Benki ya Dunia.



     Mkuu wa Kitengo  cha Mradi  wa Usimamizi  wa Maboresho  ya Mahakama ya Tanzania, Mhe Zahra   Maruma  akizungumzia kuhusu Mpango Makakati wa Mahakama  wakati  Meneja Mradi wa Mageuzi  wa Kanda ya Afrika Mashariki, Nikola  Smithers kutoka Benki  ya Dunia  alipotembelea ofisi  hiyo leo .





Meneja Mradi wa Mageuzi  wa Kanda ya Afrika Mashariki, Nikola  Smithers (katikati) kutoka Benki ya Dunia akiwa katika picha ya pamoja wakati alipotembelea leo  kituo cha  mafunzo   cha kisutu kilicho jijini kilichopo jijjini Dar es Salaam .Kushoto ni Afisa Mwandamizi  wa Mageuzi, Denis Biseko kutoka Benki  ya Dunia  na  (kulia)Mkuu wa Kitengo  cha Mradi  wa Usimamizi  wa Maboresho  ya Mahakama ya Tanzania, Mhe Zahra   Maruma. 

( picha  na Magreth Kinabo)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni