Jumanne, 17 Aprili 2018

MAHAKAMA YA TANZANIA YAANDAA MWONGOZO WA KIMENEJIMENTI


Baadhi  ya  wajumbe kutoka Mahakama ya Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja  wakati wa kikao kazi  cha kuandaa mwongozo wa kimenejimenti wa Mahakama  ya Tanzania(JMG) kichofanyika katika ukumbi wa   mikutano wa St. Gaspar uliopo mjini Dodoma.



 






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni