Ijumaa, 6 Aprili 2018

WATUMISHI WA MAHAKAMA-KANDA YA MOSHI WAPEWA SOMO KUHUSU MPANGO MKAKATI WA MAHAKAMA

 Naibu Msajili, Mahakama Kuu Kanda ya Moshi, Mhe. Abel Mpepo akitoa Mada kuhusu Mpango Mkakati wa Mahakama kwa Watumishi wa Mahakama Kanda ya Moshi, lengo la mafunzo hayo ni kukumbushana juu ya ushirikiano wa Watumishi wote wa Mahakama katika utekelezaji wa Mpango Mkakati huo unaolenga kuboresha huduma za Mahakama kwa manufaa ya wananchi.

 Sehemu ya Watumishi wa Mahakama Kanda ya Moshi wakimsikiliza mtoa mada (hayupo pichani)

 Mtendaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Moshi, Bw. Donald F. Makawia (katikati) pamoja na watumishi wenzake wakiwa katika semina hiyo.



Watumishi wakiendelea kufuatilia Mada inayotolewa.


(Picha na Angel Meela, Mahakama Kuu-Moshi)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni