Alhamisi, 23 Juni 2022

IJA NA TAASISI YA PAMS WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO

 

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya PAMS Foundation, Bi. Krissie   Clark wa (kwanza kushoto), Mkurugenzi wa Operationi na Mafunzo, Bw.Samson Kassala na  Mkurugenzi wa Intelijensia na Uchambuzi, Bw.Elisifa  Ngowi wote wa taasisi hiyo wakipitia mkataba wa makubaliano na Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto(IJA) kuhusu ushirikiano  wenye lengo la kuwajengea uwezo maafisa wa Mahakama wa namna bora ya kuendesha mashauri ya makosa dhidi ya wanyama pori  na uhalifu wa kimataifa.

Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, ambaye pia ni Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA)(kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya PAMS Foundation, Bi. Krissie   Clark wa (kushoto), wakisaini mkataba huo.

Mkurugenzi wa Operationi na Mafunzo, Bw.Samson Kassala( wa kwanza kushoto)na na  Mkurugenzi wa Intelijensia na Uchambuzi,(wa pili kushoto) Bw.Elisifa  Ngowi wakifuatilia utiaji saini huo. 

Mkurugenzi wa Operationi na Mafunzo, Bw.Samson Kassala akisaini mkataba huo.

Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, ambaye pia ni Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) Mhe. Dkt. Paul Kihwelo (kulia) akimpatia machapisho mbalimbali ya IJA Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya PAMS Foundation, Bi. Krissie   Clark wa (kushoto).

Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, ambaye pia ni Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) Mhe. Dkt. Paul  Kihwelo (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya PAMS Foundation, Bi. Krissie   Clark wa (kushoto), wakibadilishana mkataba huo.

Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, ambaye pia ni Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) Mhe. Dkt. Paul Kihwelo  akizungumza jambo.


Mkurugenzi wa Operationi na Mafunzo, Bw.Samson Kassala (katikati)akizungumza jambo.

(Picha na Magreth Kinabo)


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni