Jumanne, 14 Aprili 2026

JAJI MKUU AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA JAMHURI YA MALAWI

Na WAANDISHI WETU-Mahakama, Dodoma

Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju, leo tarehe 14 Aprili, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Malawi na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe. Dkt. Lazarus Chakwera, kwenye ukumbi wa mikutano wa Jaji Mkuu Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania jijini Dodoma.
















Hakuna maoni:

Chapisha Maoni