JUDICIARY OF TANZANIA
Jumamosi, 29 Agosti 2026

MTENDAJI MKUU AZUNGUMZA NA WATUMISHI WA MAHAKAMA ZA CHINI DAR ES SALAAM

›
Na  WINFRED NZILANO-Mahakama Kisutu, Dar es Salaam Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Dkt. John Jingu, tarehe 27 Agosti, 2026, alifanya ...

JAJI MKUU MASAJU AMUAPISHA MHE. DEOGRATIUS NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS WA TANZANIA

›
   Rais, Mhe. Dkt. Samia ampongeza Mhe. Ndejembi kwa kushika wadhifa huo    Amtaka Makamu wa Rais huyo kuwa tayari kujifunza   Asema bidii, ...
Ijumaa, 28 Agosti 2026

WATUMISHI MBEYA WATEMBELEA KITUO CHA KUFUA UMEME MTERA

›
Na MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Jaji Mfawidhi Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Mbeya, Mhe. Fahamu Mtulya amewaongoza Watumishi wa Masj...

WATUMISHI WA MAHAKAMA ARUSHA WAPATIWA MAFUNZO YA NAMNA YA KUPAMBANA NA MAJANGA YA MOTO

›
Na SETH KAZIMOTO – Mahakama Arusha Watumishi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Arusha wamepatiwa mafunzo ya namna ya kupambana ...

WATUMISHI MBEYA WAZURU MAKAO MAKUU, TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA

›
Na MUKSINI NAKUVAMBA - Mahakama, Mbeya Watumishi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Mbeya wamefanya ziara ya kikazi ya kuzuru Ma...

MTENDAJI MKUU ATEMBELEA KITUO CHA USULUHISHI, MAHAKAMA YA ARDHI

›
Na MWANDISHI WETU-Mahakama, Dar es Salaam Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Dkt. John Jingu, tarehe 26 Agosti, 2026 alifanya ziara ka...
›
Nyumbani
Ona toleo la wavuti
Inaendeshwa na Blogger.